Tuesday 23 January 2007

Longolongo la utoaji mizigo bandari salama!

inasemekana kwamba bandari ya d`salaam hupoteza mapato ya zaidi ya asilimia tisini (>90%) kutokana na wafanyabishara wengi kukimbia kutumia bandari hiyo na kupelekea kutumia bandari ya nchi jirani ya kenya, bandari ya mombasa!

Ni nini basi sababu hasa za matatizo haya? Nitawaletea habari kamili hivi karibu, endelea kupitia blogu hii....